38
723 days ago
KUTOKA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TA CCM DODOMA:kikao cha NEC kimepitisha kwa kishindo jina la Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti CCM Taifa,Cha Pendekeza Jina la Ndugu.Phillip Mangula kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara na Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar.
---
Kwa habari zaidi nenda www.hakingowi.com

0 Comments
Realtime comments disabled